Habari wakuu,
Nauza laini za uwakala, ziko mbili ya tigopesa na airtel money. Zote naziuza kwa Tshs.300,000/= ama kwa moja moja tigopesa nauza Tshs.180,000/ na airtel money nauza Tshs.120,000/= pia kama unachukua zote nakupa na simu ya samsung ya laini 2 kwa ajili ya kuanzia biashara.
Maongezi...
Habari wanajukwaa,
Nauza simu aina ya Samsung galaxy grandprimes plus. Simu ni used.
Sifa zake:
1. Ina kioo cha inchi 5
2. Memery ya ndani GB 8
3. R.A.M 1.5GB
5. Kamera ya nyuma 8MP,ya mbele 5 MP.
Bei Tshs.150,000/=, maongezi yapo.
Napatikana Dar es Salaam,
Simu yangu 0787 745 005.
Habari wakuu,
Nauza majiko ya kisasa yanayotumia mkaa kidogo kutoka kampuni ya burnstoves.
Yapo matatu na kila moja nauza Tshs.100,000/= kama una pungufu unaongea.
Nipo Dar es Salaam,
Namba yangu 0787 745 005.
Habari wakuu,
Nauza simu yangu aina ya Samsung grand prime plus ikiwa na sifa zifuatazo:
1. Kioo cha inchi 5
2. Laini 2 za kukata
3. Ina 4 G Lte
4. Kamera ya mbele 5 MP
5. Kamera ya nyuma 8 MP
6. Internal memory 8 GB, RAM 1.5 GB.
7. Operating system: Android 6.0 (Marshmallow)
8. Uwezo wa...
Nauza Tecno W3 LTE yenye sifa zifuatazo.
Kioo size yake ni inches 5.
Battery 2500mAH inakaa muda mrefu.
Ina uwezo wa 4G LTE.
Internal Memory 8Gb.
R.A.M 1GB.
Kamera ya nyma 8 Mp.
Kamera ya mbele 2 Mp .
Haina mchubuko hata kidogo.
Bei yake Tshs.120,000/=
Kama waitaka text/whatsapp/piga...
Hello team,
Nimeokota bahasha yenye vyeti vya Sunday Lameck, vyeti vyenyewe ni:
Cheti cha kuzaliwa number 000464555 kilichotolewa mwaka 09/11/1989
Cheti cha mafunzo kutoka FPCT YOUTH CENTRE chenye number FPCT/6640/07/0095 kilichotolewa mwaka 2008
Cheti cha elimu ya kidato cha nne kutoka...
Hello team,
Nimeokota bahasha yenye vyeti vya Sunday Lameck, vyeti vyenyewe ni:
Cheti cha kuzaliwa number 000464555 kilichotolewa mwaka 09/11/1989
Cheti cha mafunzo kutoka FPCT YOUTH CENTRE chenye number FPCT/6640/07/0095 kilichotolewa mwaka 2008
Cheti cha elimu ya kidato cha nne kutoka...
Habarini wana jamvi,
Juzi kati nimenunua tv ya samsung flat screen,ni ya mtumba ila katika ku-google nikapata kujua kuwa ina tuner 3 yaani DVB-S,T na S, nikajaribu ku-search chaneli ikanigomea maana ile sehemu ya search ilikuwa faint nikaingia tena mtandaoni kusaka madini wakasema iko katika...
Habari wana jukwaa
Naomba mtu yeyote mwenye soft copy ya vitabu hivi:
Project Management by K. Nagarajan
Financial Management by Prasanna Chandra, Prasanna, anisaidie ama hata kama unavyo kama hard copy sio mbaya ukiniuzia.
Asanteni
Habari wana jukwaa
Kichwa cha habari chajieleza,naomba kwa yeyote anayeuza mtungi wa gesi wa kilo 12 aniuzie.
Kama unao ni-pm pamoja na bei unayouza.
Mie napatikana Dar es salaam.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.