Mtungi wa gesi unahitajika

Mtungi wa gesi unahitajika

baba glory

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2016
Posts
292
Reaction score
213
Habari wana jukwaa
Kichwa cha habari chajieleza,naomba kwa yeyote anayeuza mtungi wa gesi wa kilo 12 aniuzie.
Kama unao ni-pm pamoja na bei unayouza.
Mie napatikana Dar es salaam.
 
Habari wana jukwaa
Kichwa cha habari chajieleza,naomba kwa yeyote anayeuza mtungi wa gesi wa kilo 12 aniuzie.
Kama unao ni-pm pamoja na bei unayouza.
Mie napatikana Dar es salaam.
Kwanini usinunue dukani au kwenye vituo vya mafuta tu?? Duh
 
Back
Top Bottom