nawaomba MWANAHALISI wawe wana-update tovuti yao haraka iwezekanvyo ili sisi ambao tunalikosa kwenye news stands,tupate nafasi ya kulisoma kwenye tovuti yao.MUNGU IBARIKI MWANAHALISI,MUNGU IBARIKI MWANAHALISI
nawaomba MWANAHALISI wawe wana-update tovuti yao haraka iwezekanvyo ili sisi ambao tunalikosa kwenye news stands,tupate nafasi ya kulisoma kwenye tovuti yao.MUNGU IBARIKI MWANAHALISI,MUNGU IBARIKI MWANAHALISI
Hivi hawa waliompa mkwere nafasi ya kumi kwa utendaji Africa,wanamjua kama sisi watanzania tunavyomjua na tunavyoona mambo yanavyoendeshwa nchi hii?na kama wanadanganywa tatizo ni nini,tunashindwaje ku-expose uozo ya serikali ya mkwere kwa wanajumuiya ya kimataifa?..NAWASILISHA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.