Kutokana na uwezo wako mdogo wa kufikiri sikushangai hata kidogo. Ila ungepata muda kidogo ukafuatilia umafya wanaoufanya gangs walioendelea pale wanapodhulumiana au kusalitiana ungeweza kufikiri nje ya box.
Kumbuka kupigana risasi, kikatana mapanga, kuchomana visu, kulishana sumu za kuua...
Hujamuelewa Mshana.
Issue ni kwamba hao waliokuwa wanamtumia ni kwa namna gani watakuwa assured kuwa asingeweza kutoa siri zao???? Kumbuka kwamba hawana utulivu katika biashara zao maana msako mkali bado unaendelea soo ni lazina wanajiuliza ni nani analikisha baadhi ya information?? Hata kama...
Nimekuelewa sana na nadhani upo sahihi. Kifo anapanga Mungu ila vipo vifo vingine lazima tujiulize kidogo. Halaf katika kupita pita mitandaoni yasemekana alikuwa anasumbuliwa na pumu ugonjwa ambao hakuwahi kuwa nao kabla......
Mnatakiwa mjue majukumu ya mkaguzi ni nini, kujiongeza maana yake ni nini kitaalam?
Auditor sio kwamba akikagua anatoroka na nyaraka bila kutoa mrejesho kwa mkaguliwa.
Kawaida akishamaliza kukagua anatoa mrejesho kwa mkaguliwa na kumuonesha nyaraka zinazokosekana ili kama anaweza kuzi submit...
Hv huyu ni yule kafulila niliyekuwa namfahamu kweli? Kwani watu wakiwa ndani cha chama tawala huwa wanafikiri kwa kutumia nn?
Kafilila anaweza kujibu shit kwa kiasi hiki? I can't believe aisee.
Kwani maandamano yanazuia kuendeleza mapambano dhidi ya UKIMWI? Kwani wewe kujaanza mapambano dhidi yaw UKIMWI? Umechelewa sana wenzio tulishaanza zamani katika ngazi ya familia hadi koo. Sasa tupo kwenye ngazi ya marafiki zetu na wengine wanaotuzunguka hatusubiri tena campaign za rerikali. In...
Hii ilikuwa zamani walivyowachafua CUF kule kusini siku moja kabla ya uchaguzi mkuu, hii ni zilipendwa hatudanganyiki tena. Mbaya zaidi hv vyombo vya habari vinatumikaga vibaya. Kwa maigizo yale ya CUF ITV ilitumika vibaya na hiyo dhambi haitawaacha salama maisha yote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.