Search results

  1. J

    Magari ktk barabara dsm

    Wana JF, Mi nionavyo kuhusu foleni katika Jiji la Bongo ni kuchukwa maamzi makali ya kuamua kuzuia magari yenye kubeba abiria chini sita kuingia mjini. Pia na Sumatra kutoa leseni kwa mabasi makubwa tu
  2. J

    Nawatakia PASAKA NJEMA wanaJF wote!

    Wana jamii forum. Nawatakia pasaka njema yenye utulivu.
  3. J

    Spams kwenye email

    Wataalamu wa mtandao ninapata email ambazo sizifahamu nifanyeje kuzizuia, kwakuwa zinajaza sanduku langu bure.
  4. J

    Spams kwenye email

    Wataalamu wa mtandao nipata Imail ambazo sizifahamu nifanyeje kuzizuia, kwakuwa zinajaza sanduku langu bure.
  5. J

    Hekima na busara

    Naomba msaada wenu wa kujua maana na tofauti ya maneno Hekima na Busara pia ni wakati gani yafaa kutumika.
  6. J

    "Moto umewawakia, hawawezi kuuzima" - Mengi

    kwanioi busara isitumike katika kuongea, kutenda, kushauri.hadi kufikia hatua kuhukumu pasipo na hekima. Wote nyie ni kio katika jamii. Haipendezi kujiangalia ktk ukakuta picha yako kuwa ni kiumbe tofauti nawe. Kuweni na utu.
  7. J

    Maandamano ya Chadema yatishia Serikali ya CCM madarakani

    ukweli siku zote hupata vikwazo lakini mwishowe hushinda, tubaki tu kwenye ukweli na tuepuke malumbano ya kwamba kuna uvunjaji wa utaratibu. Viongozi tuonyeshi dira inayofaa bila kuepo na aina ya mchecheto wa muongozo wa hoja.
Back
Top Bottom