wigs za kawaida ambazo sio za gharama sana kiukweli zinasaidia sana(zinaokoa pesa nyingi tunazotumiaga)coz nywele za mwanamke mpaka zitunzwe na zipendeze ni gharama sana..mara dawa,steaming,mafuta ya kukuza,ya mba,mara uzisuke ili zikue na huwezi suka twende kilioni ukaenda kazini au sehemu...
Nakushauri tafuta viwanja au mashamba uwekeze huko hutajuta..yaani miaka michache ijao utauza kwa faida kubwa sana.ardhi inalipa sana.
Bank weka fedha chache tu za dharura na kukuwezesha kupata basic needs zako,zinazozidi wekeza kwenye ardhi.
Binadamu wengi wana tatizo la kupenda kuishi defn za watu wengine about what is life na hawataki kuishi kulingana na defn zao za what is life nadhani hapa ndo tatizo linapoanzia na hii yote ni kutokana na KUTOJIAMINI.once unapojikubali lazima uishi maisha unayoyamudu.
Mie nimechagua...
1.Sipendi tabia ya mtu asiye na cheti kizuri kujihamihani,yaani ni shida baadhi akishaona umemzidi elimu na mpo kitengo kimoja muda mwingi atatumia kujihami.sijui wanadhani huwa wanafiriwaje.nawashauri wajikubali na solution waende kujiongeza kuliko kuwa kero kwa wenzao.sio wote lakini...
Salaam.
Nisaidie kufahamu 1)kazi ya nyongo kwenye mwili wa binadamu ni nini?
2)Mtu akitapika nyongo kuna umuhimu/faida ipi?(yaani leo kwa mara ya kwanza nimetapika nyongo,sasa nimejikuta nina shauku ya kujua )
Kwa uzoefu wangu nimekuja kugundua watu wengi wanaoiba maofisini hawakuwa na hiyo tabia na hawapendi kabisa.haya mambo yanaumiza sana....nafahamu kaka mmoja alikaa mtaani 4 yrs hajapata kazi.siku kapata kazi mahali lakini ndo hivyo take home yake ilikuwa 250,000 na kazi alikuwa anafanya kwa...
yaani kwa huu unyonyaji wa waajiri mfanyakazi usipokuwa mwangalifu unaweza kutengenezewa mazingira ya kuwa MWIZI kabisa na wakati haukuwa na hiyo tabia.Ee MUNGU akatuvushe salama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.