Mfalme hana nguo nini? Hadithi za zamani zina mafundisho sana. Someni hata hizi za kitoto, Fairy tales au Hadithi za Esopo au Abunuwas (Kama historia imewashinda)! Read something please, at the end of the day utaambulia chochote kile.
Ana uwezo wa kukutana na mtu yeyote au kundi lolote Dar
Ana uwezo wa kuandaa maandamano yoyote Yale
Anaweza kuhamasisha vijana kwa njia yeyote zaidi ya magazeti na radio/tv yaliyom ban
Aongee na wana dsm kupitia Tbc, uhuru nk. Atasikilizwa.
Kiki ndio hapati! Yaani utafikiri ha exist!! poleni...
Watanzania ni watu wa ovyo ovyo tu, irrespective of umri wao, vyeo vyao na hata elimu zao. Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Sasa Kama Shilawadu inapendwa na katerero inazungumziwa hadharani, what do you expect? Upande magugu uvune ngano?
Umesahau ku mention asilimia inayojitibu yenyewe bila kwenda hospitali. Na hata unapoenda hospitali hao overworked doctors wana misdiagnose magonjwa. Hatukuhitaji bombardier za kubeba watalii tunahitaji hospitali bora zenye vifaa vya kupimia na vya tiba, na tunahitaji madaktari wengi zaidi...
Nyerere na sisi hatukutoa mkopo, tulichotoa tulikitoa kwa moyo kwa kuamini uhuru kamili ni mpaka Afrika yote iwe huru. Leo mnadai deni, mkataba uko wapi?
Hii nchi ni tajiri sana (Magufuli) leo tunatafuta mikopo. Nikumbushe kwamba kupanga ni kuchagua (magufuli)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.