Mmmh Mzee angalia usije ukajinyonga maana hayo makolokolo ni mengi usitumie nguvu nyingi kutatua vitu vilivyo nje ya uwezo wako mzee,misaada hutoka kwenye ziada wa muhimu ni baba na mama Yako.wengine wale kwa kutumia macho pia punguza kuhonga kwani umeoa watoto wakusingiziwa wa kazi Gani...
Kuhusu Musiba huyu bwana kuna wakati mdai wake alimtaka amuombe radhi kama sikosei aligoma.Maaskofu lazima wamtetee ndiyo kazi yao ningeshangaa kama askofu atasema kinyume hata mimi nashauri amsamehe kama atajutia kosa lake na kuomba msamaha.Kwa hali ya kawaida hata nani hawezi kupata hiyo hela...
Miaka 6 toka ashambuliwe ni muda mrefu sana Nina shaka hata wahusika tukio hili siyo wengine wamekufa na wengine wamefukuzwa kazi, usihofu iko siku tena nihivi karibuni tamati ipo.
Thibitisha kuwa Zumaridi ni muongo,kila mtu siku hizi anajiita nabii huwasemi kumbuka Imani ni jambo tofauti.Kasema alienda mbiguni sasa uongo wake upo wapi.
Kwa hiyo ukiwa upande wa Lisu inakuwa gaidi?mbona Chadema wako upande wa Lisu, acha hizo, hao Mashehe CCM ndiyo wanaojua kwa nini wako mahabusu kwani aliyewaweka ni mwenyekiti wao yaani mkuu.
Sasa kwa taarifa tu CCM ilisha kufa cku nyinyi sana anaye ifufua ni mama Samia hii ndiyo ÇCM original isiyo ogopa uchaguzi Wala katiba mpya,Mimi namsifu Rais wa sasa na mstaafu Mwinyi .naiona CCM ikirudi kwa watu mdogomdogo na kupita kwa kishindo 2025,wanaompinga mama ni waliozoea vya...
Pole sana ndugu,ugonjwa wa maralia uliua watu sana mpaka wakati wa vita kuu ugonjwa huu bado ilikuwa hatari sana mpaka dawa ya chloloquine ilipopatikana.miaka ya Akina David Livingstone ni miaka ya giza sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.