Sheria huwa haiangalii chama wala dini, kama umejenga kwenye njia ya maji sheria inakuondoa na sio sababu ya matokeo ya uchaguzi... Hata kama Lowasa angekuwa Raisi bado sheria ingewaondoa hao walio mabondeni. Bora waondoke leo kuliko kuzika watu mafuriko yakija
Habari za Jumapili na weekend ndugu, jamaa na marafiki? Kesho ni siku nyingine tena, karibu haraka ili upate huduma zifuatazo, waweza tuma picha/artwork/draft ya chochote unachotaka na sisi tutakiweka kwenye muonekano bora kwa karatasi au visual.....
Biashara yako hutegemea zaidi kile watu...
Ndugu mteja, ili kulinda siri za wateja wetu hatuwezi weka kazi zao hapa.
Unakaribishwa kutembelea ofisi zetu au kuwasiliana nasi kupitia mawasiliano hapo juu. Asante sana
Habari Wana Jamii Forum,
Haraka Digital Printing ni Kampuni ya Kitanzania iliyosajiliwa Tanzania na kufanya shughuli zake kwa kufuata sheria za Tanzania.
Tunajihusisha na Kufanya designing ya artwork, LOGO pamoja na kuprint.
Tunaprinting vitu vifuatavyo kwa bei nzuri na ukapata bidhaa bora...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.