Hivi english ya maraisi wa nchi nyingine unazijua? Pamoja na kwamba wako ulaya, lakini english ya wakuu wa nchi za ujerumani, Italia, Spain nk ni mbovu zaidi ya unavyofikiri. Nenda Asia ndo utachoka kabisa. Mfano mzuri ni huyu rais wa vietnam aliyetutembelea hivi karibuni Tanzania.
English si...
Kuna jambo huwa linanikasirisha mimi. Ukimualika kiongozi kwenye shughuli mf kuwa mgeni rasmi lazima umpe bahasha(pesa).
Hii nayo ni kero kwelikweli.... Hotuba yenyewe unamuandalia halafu unampa posho wakati ipo ndani ya majukumu yake.
Mzinga unaendana na saiz ya nyuki. Unaweza leta mizinga nyuki wakashindwa kuingia na ukapata hasara. Kuna jamaa kaagiza mizinga kama 100 kaiweka misungwi na hakuna nyuki hata mmoja kaingia kwa sababu ya size.
Hii post imetengenezwa leo saa 23:30 kana kwamba ilikuwa 31.3.2011. Jaribu kufuatilia mtiririko wa matukio utaona ni kweli ninachoandika.
Haina ukweli wowote kabisa.
SAFU YA UONGOZI WA UKAWA KUANZIA NOVEMBER 2015
Rais: Dr Slaa
Makamu wa Rais: Prof. Lipumba
Waziri Mkuu: Mbatia
Mawaziri
Sheria: Lissu
Ujenzi: Magifuri
Mambo ya Ndani: Lema
Vijana na Ajira: Mnyika
Viwanda na Biashara: Mbowe
Madini: Serukamba
Hebu wekeni mapendekezo yenu hapa kwenye safu ya...
MWANDISHI: Wewe unawalisha ng'ombe
chakula gani?,
MKULIMA: Ng'ombe yupi Mweupe au
Mweusi?
MWANDISHI: Ng'ombe mweupe
MKULIMA: Ninamlisha nyasi na viguta vya
mahindi,
MWANDISHI: Na mweusi??
MKULIMA: vilevile nyasi na viguta vya mahindi,
MWANDISHI: ahaa sawa,na sehemu ya kulala ni wapi?
MKULIMA...
Ni sawa umefiwa na mke au mme halafu baada ya mwezi unaoa au kuolewa. Ni wazi kwamba huyo unayeolewa/ kumuoa alikuwa mchepuko wako. Yaani ulikuwa unasalitu ndoa yako kabla ya kufiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.