Wakuu salamu kwenu, nimeshindwa kuvulia hili jambo kuna dada humu jf anaitwa scorpio me kauteka moyo wangu nimejaribu kum pm lakini hanijibu.. nimeona ni bora nifunguke kama alivyofanya stereo kwa chemical, na mie nataka nimuweke ndani huyu binti anaeunyanyasa mouo wangu
Katika mwaka 2016 stori zilizozagaa mitaani juu ya Ali Kiba kumtafuna Meneja wake Seven Mosha imeutesa sana moyo wangu maana Seven ndio mwanamke ninayempenda kuliko wote.
Wakuu nisaidie kumpata huyu mrimbwende.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.