Mh ni kama gari mwenye new na used wana tofauti gani? unachotaka ni usafiri tu kwangu mie ni tabia na maumbie ndio ya na point
ni kama mwenye Mark X na Land Cruser zote ni gari mwenye mpya au used hahahaah kazi mnayo ( mashine ni mashine tu hili mradi ifanye kazi)
ubaya wa hizi series kama unaproject unafanya usitazame kama ni shule utafall hata kama unaowa unaweza sahau tarehe za vikao vyako ni balaa unatakiwa uwe free na unaweza kesha mpaka asubuhii ndio utafaidi
Ujenzi wetu atuzingatii miundo mbinu ya maji ya zima moto zile gali uwa zina pump tu ya kusukuma maji ya zima moto ni lita 5000 hadi 7000 tu
Wanategemea wakute maji kwenye tukio
Du menigusa sana menikumbusha ndosi na mbegu za ubuyu, kukusanya nyenyele, na kusafisha choo kwasababu ya namba na chandimu uwanja wa barafu kazi kwelikweli.tumetoka mbali sana bakora 15 mpaka 20 kwa siku na amkomi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.