Guys Nina gari aina ya HOWO kipisi Kuna liquid pembeni ya tank ya mafuta imeandikwa Adblue Only na imeisha iko empty kwa Dar hapa ntaipata wap maana gear tayari zimeanza kua ngumu tofauti na mwanzo akati mpya
Habari wakuu
Mi ni dereva leseni class D hai na vyeti halisi mwenyeji sana wa njia za Dar- Lusaka hasa Lusaka maana nimekaa sana natafuta kazi za kusafirisha IT naombeni msaada kwa mwenye kujua utaratibu wao au wapi pa kuanzia!
Asante!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.