Search results

  1. M

    Wavietnam wanavyodhalilisha wafanyakazi watanzania katika kampuni ya halotel

    Raia wa vietnam anayefanya kazi halotel nchini tanzania amdhalilisha mfanyakazi wa kitanzania kwa kumuita "nyani"
  2. M

    Tamko la UKAWA baada ya Naibu Spika kutangaza kukata posho

    Comred ni upunguani kufikiri na kuplan eti mbunge atabadilisha maamuzi yao kisa posho!
  3. M

    IGP Mangu: Lugumi ilitekeleza mkataba wake na Jeshi la Polisi

    Jamani nimeona hapa kuna watu wanajaribu kuonyesha wao ni wataalam wa IT. Mtu akishamiliki laptop akajua kucoonect modem na kupost vitu kwenye mitandao basi naye tayari anajiona ni mtaalam IT. Kuna tofauti kati ya "intranet" na "internet". Hapa watu msijitie kujua, hakuna ulazima wa internet ku...
  4. M

    IGP Mangu: Lugumi ilitekeleza mkataba wake na Jeshi la Polisi

    Kuna tofauti kati ya "intranet" and "internet". Kinachotakiwa hapo ni "intranet"
  5. M

    IGP Mangu: Lugumi ilitekeleza mkataba wake na Jeshi la Polisi

    Kuna teknolojia inaitwa Intranet na Internet, kinachotakiwa kuconnect database na clients ni "intranet". Msivamievamie vitu msivyovijua !!
  6. M

    IGP Mangu: Lugumi ilitekeleza mkataba wake na Jeshi la Polisi

    Jamani mbona unajaribu kumsahihisha wakati wewe mwenyewe haujui haya mambo ya kitaalam!!! Ili mawasiliano ya mwanza na kituo kikuu Da yafanyike inahitajika INTRANET na sio INTERNET. Kuna tofauti kati ya hizo teknolojia mbili. Nawasilusha!
  7. M

    Halotel (Viettel) yaigomea Serikali ya Tanzania

    Mara tu Baada ya kuingia madarakani serikali ya awamu ya tano ilisisitiza kuwa wageni wanaoruhusiwa kufanya kazi nchini ni wale tu ambao nafasi zao hazina wataalam wa kizalendo wanaoweza kufanya kazi za nafasi hizo. Cha ajabu kwa kampuni ya mawasiliano ya Halotel (Viettel) sio tu kwamba...
  8. M

    Utumbuaji wa majipu, vigogo wanakosa usingizi serikalini

    Ni kufuatiliwa na sio "kufwatiliwa"....
  9. M

    Hoteli za Double Tree na Slip Way, zawekewa alama ya "X"

    ulipoandika "nauwakika" lilitakiwa uandike "nina uhakika" , sijui ni kwa namna gani mtu wa uwezo kama wako unaweza kupost vitu humu !!
  10. M

    Makampuni ya simu yapigwa faini kwa kukiuka

    Nashukuru serikali imesikia kilio chetu wafanyakazi wa Halotel ! Tulipoleta mada hapa tulibezwa na wachangiaji kuwa sisi tumetumwa na wapinzani wa halotel. Unaweza kuona kama Managing Director na Legal ambao ni wavietnam wanagoma kuongea na Waziri, je hali ikoje kwa wafanyakazi wa Kitanzania...
  11. M

    Wana CCM watakiwa kujiandaa kwa Uchaguzi wa marudio Zanzibar

    Wewe ni great thinker! Katika hali ilivyo sio rahisi msemaji kutoa tamko hilo kirahisi rahisi hivi. Lazima ungepangwa mkakati mkubwa na wenye akili jinsi ya kufikisha ujumbe huu kwa wanachama. Asilimia kubwa mambo ni viceversa na tamko lake !
  12. M

    Waziri Charles Kitwanga akunjua makucha, aanza na wahamiaji haramu

    Halotel (viettel) ni mojawapo
  13. M

    Minara ya Halotel yahatarisha usalama wa ndege

    Minara ya halotel iliyojengwa sehemu mbali mbali nchini inahatarisha usalama wa ndege. Kwa mujibu wa maofisa wa mamlaka ya anga waliofanya ukaguzi ilibainika minara mingi iliyoko katika mikoa mbali mbali imekiuka vigezo vya usalama wa ndege. Mfano katika eneo la uwanja wa ndege ulioko...
  14. M

    Ikulu ifafanue: Safari za nje zilizofadhiliwa kwa kila gharama nazo marufuku?

    Ninayofahamu kuna vyuo vya kukidhi haja hapa nchini, nendeni mkasome au agizeni hao wataalamu waje kuwafundisha hapa hapa. Gharama ya kuleta mtaalam mmoja au wawili ni nafuu kuliko kubeba lundo la watu kumi hadi ishirini kwenda nje. Lakini mmeshaambiwa ukiomba kibali uinyeshe umuhimu wa...
  15. M

    Ikulu ifafanue: Safari za nje zilizofadhiliwa kwa kila gharama nazo marufuku?

    Kwa kipindi chote ambacho mmekuwa mkienda taifa na wananchi wamefaidika na nini. Sasa tulieni muone zuoi hilo litakavyoleta tija. Lakini mmeshaambiwa ukiomba ruhusa wataangalia tija ya safari hiyo kwa umma. Ukiona umezuiliwa basi ujue safari yako haina tija.
  16. M

    Kigogo wa BoT azuiwa Airport kutokana na kukosa vibali vya kusafiri nje ya nchi

    Kuna nyadhifa nyingine hata ukiwa likizo hautakiwi kusafiri nje ya mkoa, sembuse nje ya nchi !
  17. M

    Mh Jenister Mhagama anza na jipu la halotel(vietel)

    Tunashukuru kwa hatua unazochukua dhidi ya waajiri hasa makampuni ya kigeni kutokufuata taratibu na sheria. Huku halotel kumejaa wageni wengi kutoka vietnam ambao kazi wanazofanya hata darasa la saba anaweza kuzifanya. Unakuta eti expart anasimamia uchimbaji na ufukiaji wa mkongo wa...
  18. M

    Tanzania nchi ngumu kuiongoza! Wakwepa kodi wanapuuza agizo la Rais

    Mbona vitalu vya uwindaji huko loliondo umeviacha au kwa kuwa vinawahusu watu fulani fulani !!!
  19. M

    Halotel yasababisha Wizara ya Mawasiliano kuunganishwa na Makamba kuikosa

    Pamoja na ubia wa wa mstaafu huyo, basi halotel (vietel) ingefuata taratibu na sheria za nchi kusingekuwa na nongwa. Lakini cha ajabu kampuni hiyo imevunja karibu kila sheria na taratibu za mamlaka katika nchi hii. Kuanzia tcra, ujenzi, tannesco, tra, na sasa idara ya kazi ambapo imenyanyasa...
  20. M

    Halotel (Viettel) inavyowanyanyasa na kuwanyonya watanzania

    Nakubaliana na wewe lakini kufuata sheria na taratibu za ajira kunategemea ugeni wa kuanza biashara! Sisi wafanyakazi hatuna tatizo sana na maslahi,shida kubwa ni unyanyasaji na kutofuata sheria za ajira.
Back
Top Bottom