We jamaa hii comment yako inaonesha kwel umeoa wa standard seven leaver halaf wakolomije
Kwa akil yako mwanamke wa aina hiyo(msomi, halaf wa kidigital na mrembo) atarud kwao ukimpiga chin, inaonesha dhahir huwafaham vizur hawa ,
Hongera mkuu kwa mawazo yako, kila mtu ana mtazamo wake kuhusu ndoa na maisha kwa ujumla
mshauri huyo jamaa afukuze haraka mke wake ili aendelee kuishi kwa amani na mama na dada ake wapendwa mana naona mitazamo yenu inaelekeana
Mkuu yawezekana kabisa huyu jamaa leo anaona anafanikiwa lakini hajui yawezekana pia kuwa ni nyota ya huyo mkewe, baada ya kufanikiwa ndo anaanza dharau na kumtolea maneno humu mara ooh kazalishwa mara mbili na wanaume wawili tofauti , jambo ambal sijui haupo mwanzo alipoamua kumuoa hakuliona...
Kwanza we jamaa unaonekana unadharau na kujiskia sana(baadhi ya maneno makali sana umetumia ambayo hayakuwa na ulazima kuonekan hapa,mara sjui mdogo wang kasoma sayansi, mara kwao masikin sana)
Kurud kwenye mada, kumsaidia mama n muhimu sana lakin Si lazima akae hapo nyumban, ila kama umemchoka...
DHAMBI huzaa DHAMBI na mwishowe huleta mauti.TAMAA imezaa ZINAA na zinaa imezaa UUAJI na mwishowe KIFO
UZINZI ni DHAMBI ,hakuna atakayesalia iwe mwanamke au mwanaume,
Ni kwel inatia uchungu binadam kuuawa kinyama hivo,lakin yapasa tujifunze kupitia hao wenzetu
ACHA ZINAA NI KIFO
mkuu nadhan hujawajua vizur wanawake wa siku hizi, hawarudi kwao wanapanga nyumba mtaa wa pili tu na kesho yake unamuona yupo macho makavu anaendelea na maisha kama kawaida,hiyo ya kumrudisha kwao hai apply sana siku hiz
N.B NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE, DHAMBI HUZAA DHAMBI MWISHO HULETA MAUTI
watu watajidai kutoka povu sana hapa, bt huu ndo ukwel ,kwnn kila kitu wawe wao tu wajuvi ?kitecnolojia, kisiasa nk.hao madaktar mnaosema wa kiafrika chanzo n tecnolojia ya mzungu,huyo dangote machine anazotumia n tecniolojia ya mzungu,matecnician wake elim ya mzungu,n.k
yan Kna mambo yanaumiza...
Naskia huwa wanasali usiku wa manane,af nlskia pia kuwa wanaabudu bila kuvaa nguo, Mara y kwanza nlkuw siamin ,bt kwa maswal haya ya wadau naanza kuamin taratib ,itakuw n kwel
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.