Hapa Moshi kaimu Mkuu wa Mkoa aliyesitaafu aliwaita TPC wajieleze kulikoni sukari hakuna madukani.....alishangaa kuambiwa uzalishaji ni kama kawaida na bei ya kiwandani ni shs 72000. Mchezo uko kwa mawakala
nakubaliana nawe hapo kwa Mwakwusa lakini Magufuli hukumtendea haki. Magufuli ni mchapa kazi muwazi na mkeli. Ndio aina ya kiongozi anayehitajika TZ sasa hivi
nakubaliana nawe hapo kwa Mwakwusa lakini Magufuli hukumtendea haki. Magufuli ni mchapa kazi muwazi na mkeli. Ndio aina ya kiongozi anayehitajika TZ sasa hivi
Afadhali Wakenya Waganda Wasomali. Nenda kwenye mahoteli ya kihindi wasiokula nyama jioni utashanga idadi ya wahindi wasiojua hata neno moja la kiswahili. Ushauri wangu tuzidi kuwafichua hivyo hivyo wagaramie inderect
Afadhali Wakenya Waganda Wasomali. Nenda kwenye mahoteli ya kihindi wasiokula nyama jioni utashanga idadi ya wahindi wasiojua hata neno moja la kiswahili. Ushauri wangu tuzidi kuwafichua hivyo hivyo wagaramie inderect
Ufafanuzi wako ni kweli kabisa. Tulikuwa hata na dini zetu wakaziita za kishezi . Tatizo watafanya mbinu yoyote hata mchezo mchafu kulinda msilayi yao.Tuwe waangalifu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.