Na huo ndiyo ukweli kama huna hela jaribu kumwambia mwanamke atumie jina lako kitakachofata utakuja kutuambi, tena raha mwanamke awe muajiriwa alafu ww mfuga kuku flan cku hiz mjasiliamali? Sasa mwambie aende kazin kwake eti abadili ukoo wake kama ajachukua mtaji wake wa kuku aliwokukopea na doa...
Wanawake ndiyo upenda kutumia majina ya mumewe na hii ni ktk aina mbili tu, mwanaume awe na hela au cheo fulan bila hivyo sahau mwanamke kutumia ukoo wako?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.