Kwa muda mrefu sasa nimekua nikishangaa huyu reporter wa ITV mkoani Mara akiripoti habari za mkuu wa mkoa tu kana kwamba ni msemaji wa huyu mheshimiwa. Niliposhangaa sana nikajishangaa, kwanini nashangaa wakati hata mabosi wake wa hapo mikocheni wameona ni sawa tu!
Kama na leo Hili litajirudia...
Heshima kwenu wana jamvi,
Nahitaji kutengeneza mifuko yenye jina la biashara yangu kwa ajili ya kuwekea bidhaa za wateja wanaponunua vitu dukani kwangu. Naomba mnisaidie mawasiliano au sehemu ambayo naweza kupata huduma hii.
Natanguliza shukrani.
Heshima kwenu wakuu,
Kwanza ningependa kukiri kwamba Mimi ni Mgeni sana humu jamiiforum lakini nawaheshimu sana wadau na naamini nitapata ushirikiano wa kutosha kutoka kwenu.
Mimi ni mfanyabiashara Mdogo na nina frame ya biashara katika moja ya miji ya tz. Wakati naanza biashara nilifata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.