Alichotakiwa kusema in public ni kuwa Kakobe alisema ana pesa kuliko serikali, uchunguzi umeonesha kuwa hana akaunti yeyote Tanzania. Yeye ni signatory katika akaunti ya Kanisa full stop. Kanisa ni taasisi inayojitegemea.
Well, Watu Wengi wanaamini kuwa Martin Luther ndiye mwasisi wa Kanisa la Lutheran. Ukweli Ni kuwa falsafa yake ndiyo ilienea na kujikuta kanisa jipya limeanzishwa tena baada ya kifo chake. Yeye lengo lake lilikuwa kufanya matengenezo katika kabisa catolic ambapo matengenezo hayo hayakukubalika...
Luther yupi? Kama unamaanisha Martin Luther kasome historia vizuri. Luther hakuanzisha kanisa ila baada ya kifo chake wafuasi ndio waliasi na kujiita walutherians
TCRA hawawezi kuwachukulia Tigo hatua kama hamjawaripoti. Unapopata shida ya kimtandao peleka malalamiko yako kwa mtandao husika. Kama hawajakutekelezea shida yako. Waandikie barua ya nia ya kufungua shauri la Madai tcra. Peleka barua mbili ambapo watazigonga muhuri kupokea. Moja watakurudishia...
Basi kwa nini wasitumie hoja na majukwaa yao kusaidia jamii. Gwajima kupitia jukwaa la dini aeleze madhara yatokanayo na vitendo hivyo bila kutishia Watu wasimtaje. Kwa nini hataki atajwe? Diamond naye atumie sanaa yake kufikisha ujumbe kwa jamii jinsi migogoro inavyoweza kuwa hatari hasa...
Hiyo ndiyo sanaa yenyewe. Yeye amekaa kimya ila anaelezea jinsi wanavyomsumbua Watu kuwa aseme. Aseme juu ya nini ? Yanayotokea katika jamii. Sanaa Ni ubunifu na lazima tujifunze kuappreciate (nimekosa neno sahihi la kiswahili) kazi za kisanii. Kuna msanii kule Kenya aliamua yeye asiwe na jina...
Heshima kwenu Wakuu!
Nimejaribu kusikiliza wimbo wa Diamond mara kadhaa has a baada ya kusikia sakata lake na Gwajima.
Kuna vitu kadhaa nimejifunza.
1. Wa Tanzania tulio Wengi tunapenda mipasho. Tunapenda kusikiliza stories ambazo hatuhangaika kutafuta ukweli wake. Tunaamini kwasababu fulani...
Mbatia sasa anachokifanya sasa ni uchochezi live. Baada ya kipindi hiki ukawa wakiaamua kuingia mtaani kuwasaka wanachama wa ccm itakuwaje? Je ccm wakiamua kujibu hoja itakuwaje?
Vitendo vya uvunjifu wa amani vinafanywa na pande zote. Kuna video zinatumwa zimehaririwa kwa pande zote. Hakuna...
Well said, Tatizo letu pengine ni kutolijua tatizo lenyewe. Tuna mahaba na vyama/watu kuliko Sera. Nadhani Sera inaweza kutuunganisha zaidi kuliko watu.
Hata Kama itatokea jemedari kuanguka vitani, tutateua mwingine aendeleze mapambano. Shida ni tunapochagua mtu bila kuijua Sera, akianguka wote...
Alisema kwa Mara ya Kwanza Tanzania na dunia itajua. Tanzania haijawahi kuwa na Makamu mwanamke hivyo itakuwa ni historia itakayojulikana Tanzania na ulimwenguni.
Kama hujui matumizi ya lugha uliza uelekezwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.