Me nafikiri mch.mwasapile ametumwa na mungu kuja kuonyesha maajabu ya mungu hivyo mwacheni atibu watu na serikari itambue ya kwamba kuna maswala ya kisayansi; mitishamba na kiimani pia. Hivyo kuna haja ya ya kutunga sheria ndogondogo za kuwalinda badala ya kupinga tu.
Adhabu ya viboko inatakiwa kwani vijana weingi wasasa hawataki kusoma ila wanataka kufaulu sasa ili hwa madogo wajue kwamba elimu sio sebene lazima wanyukwe viboko ili washike adabu.
Naomba redio kutoka iringa waige wenzao wanavyofanya kwa kufanya makongamano mfano hapa njombe tuna shule kubwa nanyingine nyingi kwa nini hamhoji nini chanzo cha wanafuni kufeli sio mnauliza watu ambao hawafahamu chanzo
Nguvu ya uma haichezewi,nguvu ya uma haina msomi,nguvu ya uma haiogopi vyombo vya dola nguvu ya uma ni Ishala kwamba ya umoja na si unafiki DONT PLAY WITH PEOLES POWER.:second::second::second:
Mimi nashindwa kuelewa tunakwenda wapi na hali ya watanzania itakapofika mwisho itakuaje kwani mpaka sasa walimu mbali na kuwa na mishahala midogo bado mikopo inabaniwabaniwa mfano kuna uhalali gani wa mwalimu kukaa miaka 3 ndio akopeshwe wakati probation period yake ni mwaka mmoja na viongozi...
`pepoples`POWER! NACHO FAHAMU MIMI CHADEMA TUNA HAKI YA INCHI YETU YENYE RASLIMALI NYINGI INACHEZEWA NA WATU WACHACHE SIKUBALI HATA KIDOGO NAAMINI KTK NGUVU YA UMA
`my dear friend you are asking for the o`level syllabus`even we teachers who are called educational officers we are facing the same probem out of that we are told to prepare things like scheme of work,lesson plan,teaching notes,attendance register ASK THE GOVERNMENT HOW MANY STUDENTS PER ONE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.