Wadau niko njiandaa kuandika historia ya komandoo wa kitanzania aliye kuwa akitwa Tarimo, kijana huyu alipata mafunzo yake kule Cuba, na baadae kurejea nyumbani Tanzania.
Je kuna mtu awaye yeyote mwenye ufahamu wa ili Jambo? naomba michango yenu zaidi.
Jeshi latwaa uwanja wa ndege, Sirte
Picha za Gaddafi za ng'olewa uwanjani
Wanajeshi wanaoitii serikali ya mpito ya Libya wametwaa uwanja wa ndege katika mji wa Sirte, mahali alikozaliwa aliyekuwa kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi.
Wapiganaji walisonga mbele kupitia majengo ya uwanja wa ndege...
Awali ya yote natanguliza pole nyingi sana kwa Taifa letu la Tanzania katika wakati mgumu hasa wa tukio kubwa lililotokea hapo siku ya Jumamosi majira ya usiku mwingi pale ndugu na jamaa yetu walipopoteza uhai wao.
katika hali ya kustajabisha kabisa watu wengi wameanza kuchanganya na siasa...
Inasemekana kuwa asilimia kubwa ya wanawake huwa hawafikii kabisa kilele kwa upungufu wa nyege au matatizo mengine ya kimaumbile tukiachilia mbali swala la kukeketwa.
Baadhi ya wanawake hufikia kilele mara moja tu (tena kwa shugulikiwa kisimi sio ule uhondo wa kumani) kila wanapofanya...
Familia ya Gaddafi yatorokea Algeria
mke wa Kanali Gaddafi wanawe wa kiume na binti yake
Mke na watoto watatu wa kiongozi wa Libya aliye mafichoni Muammar Gaddafi wako nchini Algeria, maafisa wa Algerian wamesema.
Taarifa ya wizara ya mambo ya nje imesema mke wa kanali Gaddafi, Safia, binti...
kwa upande wangu, naomba uachane na yule wa kwanza, kwani kaenda katumika sana kwa watu wengine, na mwisho kabisa kaja kupumzika kwako achana nae, ila fuata kijana wa pili msaidie ili ahadi yenu itimie
Hello Asha Ngedere,
jitahidi kuwa mkweli kwani umetuma ombi lako la kuwa unahitaji mtaalamu wa mambo ya mahusiano uku hali ukijua kuwa unadanganya, kwa ufupi mtu ulie mtumia ombi lako namfahamu,
Na nillijaribu kuwasiliana nae ili aweze kukusaidia, ila nawe ulimwandikia e-mail, ila katika...
Hello rafiki,
pole sana kwa hali unayopitia, sio wewe peke yako, wapo watu wengi sana wa jamii kama ya kwako. kwa ufupi ni wewe kuamua kusamehe, katika saikolojia kuna kitu tunasema" NGUVU YA KUSAMEHE, rafiki mara unaposamehe kuna kitu fulani uwa kinaondoka rohoni: KINYONGO' ivyo yakupasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.