Habari zenyu!
Niende straight kwenye mada kuna baadhi ya watu sijui wana matatizo gani yaani unakuta watu wamepishana kidogo wanaanza kusemeana maneno machafu kuhusu wazazi smdh! Haijawahi nitokea ila hii kitu inakera, inabore na haipendezi hata kidogo. Hebu niulize, Mnatoaga wapi hizo nguvu...
Habari zenyu wapendwa,
Nina kiushauri kidogo kwenu wanaume au wababa. Ukiwa au ambao mko na familia zenu tayari, yaani una mtoto au watoto usiwe baba ambaye ukifika tu nyumbani kila mtu anaingia chumbani.
Muwe na weekend njema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za jioni wapendwa!?
Leo kuna kijana mmoja kaniambia kuwa ako na rafiki yake wa kike ambaye amezoea na yuko huru sana kushika simu yake (simu ya huyo kijana) na kijana yupo huru pia kufanya hivyo kwa simu ya hiyo dada.
Swali kwenu wananzengo unaweza kumruhusu rafiki yako awe huru na simu...
Japo umechelewa kusema ila sio mbaya hata sasa hivi[emoji4]. Katika watu ninao shukuru kuwafahamu ni wewe, rafiki yangu kipenzi. Nakuchuniaga ila huninunii hata[emoji847] nashukuru kwa hilo kipenzi and your always there kila ninapokuhitaji ahsante.
Mwenyezi Mungu akubariki,akupe maisha marefu...
Habari zenu wakuu,
Jamani jamani leo asubuhi nilitoka nyumbani kidogo kama lisaa hivi. Ile nimerudi nakuta dada(house girl) na kaka ( houee boy) wanakazana sebleni wako bize kabisa mweeh. Aibu nimeona mimi jamani.
Nashindwa kumwambia dada maana atawafukuza. Ushauri tafadhali.
Mashushu...
Unapenda wimbo gani? Karibu tushare na kuburudika pamoja.
NB: Wimbo wowote uupendao iwe Gospel, Hip-hop, Rnb, Trap songs, Slow jam, Jazz, Bongo fleva etc etc.
KARIBUNI[emoji4]
jakitoo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.