Rejea kichwa cha post hapo juu,
Ila awe anaishi sehemu moja kati ya hizi kwa sasa Dodoma, Morogoro na Dar au katikati ya maeneo tajwa,kama ni muislamu basi akubali kuwa mristo baadae,tabia njema ndo kipaumbele japo black woman ni sifa ya ziada kwangu, si vibaya akawa na umri usiozidi 27 mpenda...
mheshimiwa magufuli binafsi namkubali sana na hasa kwa sifa ya uchapakazi lakini swali je njia zilizotumika kumfikisha pale ni halali mbele za Mungu na kwa watanzania walio wengi?
Kwani nini tumekosea? Au kosa letu ni kujadili haya yanayojiri Tanzania bila kusahu yale ya zanzibar ambayo hadi wale waliompa misaada mingi na mikopo( Marekani na uingrerza) raisi watanzania jk wanapiga kelele kwa hiki kinachoendelea
Wahenga walisema hakuna marefu yasiyo na ncha, ee Mungu itimize hii methali hii Tanzania, mm ni mtanzani mwenye utulivu ila sina Amani kabisa, kama Mungu angeniuliza nizaliwe na kuwepo kipindi hiki ningemuomba asiniweke kipindi hiki kwa haya ninayoshuhudia yakifanyika Tanzania
Mm naona hata mahakama nazo sio kipimo cha haki kwa 100% kwani unaweza kuwa na haki lakini kibao kikakugeukia kwa kutojua sheria vizuri, unakuta ni kweli jambazi kaiba lakini anashinda kesi. Ee Mungu tusaidie wanyonge tunaonewa
Huu ni uchaguzi wa pekee Tanzania kwani huku sioni wananchi wakihamasika kuongelea au kuunga mkono shamra shamra kushangilia ushindi wa huyu mheshimiwa rais anayesubiri kuapishwa ,yani kama vile wamenyeshewa mvua,naona wakeretwa wachache tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.