WanaJF naomba nifikishe haka ka kero naamini ujumbe utafikia wengi..
Jamani wanawake wenzangu when it comes to make up naomba tukumbuke usemi wa "Less is more" mambo ya kukandika bila kipimo mpaka mtu unafanana na mwanasesere inatia kinyaa kwa kweli.. Wale wa mikorog ndo hata sijui niseme...
WanaJF nina jambo nilikutana nalo nikabaki na swali!
Kuna dada niko karibu naye alidivorce na mumewe na wana mtoto 1 apparently jamaa alikuwa homo.. Wakati wametengana the kid was 4 n half mths sasa hivi she is 6 n half yrs huyo kaka hamhudumii mwanae kwa lololote na hayuko bothered hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.