kiukweli gemu imenishinda nilikuwa naangalia nilipofika idadi ya magoli 7 nikaona wiki imeisha nisije nikaanza na wiki ya pili nipo macho huuyo chumbani kulala. mta nijulisha waungwana kama tulianza na wiki ya pili
natafru viza hii sio nchi yangu niliyo pangiwa na mungu nilipotea nchi gani inawatu wasiojielewa hivi mtu anaongea upuuzi eti kisa mapenzi ya chama anampa bg up si utoto huu
ni kuhama tz tu unaweza pigakelele we wanachi wenye washazoe maisha magumu ni sawa na mbwa koko aliyezoe kutupiwa chakula siku ukijitaidi umpie kwenye sahani nzuri atautoa na kuugalagaza chini ndipo aanze kula vizuri so unaye jitambua fanya yako ukifwata hawa watanzania utapata kitu ni mbaka hii...
ivi kama unataka kupata viza inakuwaje jamani kwani huu ndo ulofa wenyewe unaibiwa unachekacheka afu mtu anakwambia tumewaamini tume sio nchi ya kuishi hii kila kibaya kinapatikana humu ebu ona uchawi tz makanisa mengi feki tz, wasio na ajila wengi tz,kwenye michezo atupo kabisa, ujinga ndo...
mmezoea kusema weka picha tutakuamini vipi ayaa leo mnasemaje waweke nn tena maana mkiambiwa ivi ivi uwa amuamini ayaa kazi kwenyu wazee wa mita 200 nyumbani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.