Sio kweli mkuu, mbona wachina ni wakomunisti lakini wanafanya ubinafsishaji? Wametengeneza mabilionea wachina kibao? Makampuni ya ulaya na marekani yamewekeza Uchina ila hawauzi raslimali zao!
Rafiki Mwanzo 2:17 inasema
walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika. Mwa 2:17 SUV.
Tunafahamu wafu huwa hawaishi pamoja na walio hai. Kwa hiyo hilo neno "hakika mtakufa" lilimaanisha - hakika mtatengwa na mimi Mungu...
Mimi sioni kwamba ni haki kumlaumu mama au serikali kwa hili. Mwalimu Nyerere kina wakati alisema "kupanga ni kuchagua". Sasa hivi kwa mtu anayeangalia kwa jicho la tatu ataona tuna miradi mingi na mikubwa kuliko uchumi wetu unavyoweza kumudu. Kama watanzania ni lazima tujue hilo ndio hasa...
Wewe unamfahamu Yasir Qadhi? Au unajibu tu kwa kuwa unadhani wote hawajui Kiarabu: nimesema hivi ukiona twanyamaza si kwamba hatujui, hiyo niliyokupa ni tip of the ice berg usinilazimishe niongee zaidi.
Yasir Qadhi admits to Muhammad Hijab that the (Quran) standard narrative has holes in it. What is your opinion about this controversy?
Answer
3
Follow
Request
More
Ad by Y-Jesus.com
Who Is the Real Jesus?
What does historical evidence reveal about Jesus’ true identity?
Learn More
11...
Kwa hiyo kwako wewe anayekudai ndio rafiki? je anayekupa vya bure utamuitaje? Nilitegemea watanzania wenzangu muangalie namba hizi: nchi zinazoongoza kutudai ni zile zenye kuzalisha mafuta kwa wingi, lakini tungetumia gesi yetu tunauhakika wa kuokoa takriban nusu ya hii hela halafu na sisi...
Huwezi ukamuona Mungu halafu ukaendelea kuishi (Kutoka 33:20). Nitatoa mifano michache: 1) barafu iliyotamani kupata uzoefu wa kukaa ndani ya tanuru kwa angalau nusu saa tu. 2) Mtu aliyetamani kutua kwenye jua na chombo chake cha anga za juu. 3) Chombo cha plastic kilicholalamika na kudai...
Atakakohamia hatalipa, kwa hiyo imejibalance. Nadhani faida ya mfumo huu ni urahisi wa kulipa kwa mlipaji pamoja na uhakika wa serikali kupata kodi yake. Details nyingine nadhani zitaangaliwa kutokana na michango ya wabunge.
Multiple bites sio kigezo pekee cha kutambua aina ya nyoka. Hao ni wanyama wanaweza kuwa na tabia tofauti. Lakini kwa koboko hayo ni maumbile yake hawezi kupiga dry bite, akikugonga sumu lazima itoke. Lakini kama nilivyosema hawa ni wanyama: na kama ni koboko kweli basi alijeruhiwa akawa hawezi...
Huyo hakuwa koboko, atakuwa alijuwa nyoka mwingine asiye na sumu. Koboko hawezi kung'ata bila kuweka sumu, hana uwezo wa kuzuia sumu akigonga. Tifauti na nyoka wengine ambao wanaweza kukupiga "dry bite" kama anajua wewe sio chakula chake na pia humuwindi ili kumuua.
Halafu kuhusu Wayahudi kuukubali ushoga: kwanza ni wachache sana ambao pia sio wayahudi kwa dini. Watu wa jinsi hiyo wapo kote duniani. Kuna maeneo serikali zao (hii ikiwa pamoja na Israeli) wanakubali kwamba wapo. Kuna serikali nyingine duniani zinakana - ila wapo, ndio sababu zinaweka adhabu...
Kwa sababu hamkubali ndio maana amani haitakuwepo. Mmeshaona mara nyingi hakuna muungano wowote wa kijeshi dhidi ya Israel unaofanikiwa. Kwa hiyo kama mnadhani hao ni feki haya endeleeni lakini tusisikie mnalia wala kulalamika. Mimi nilitoa ushauri tu: mtu akitaka amani na mafanikio aitakie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.