Search results

  1. Msolopagazi

    Barabara za Makao Makuu Dodoma

    Tuko busy na Chato kwanza huko Dodoma inabidi msubiri kwanza......maendeleo hayana chama.
  2. Msolopagazi

    Mrisho Gambo & Lema wakutana uso kwa uso leo

    Huyo mwenye shati jeupe anaonekana ndiyo mbunge wa Sasa na ajaye huyo mwenye kofia kama ya mzee Ojwang' anaonekana kama msela fulani aliyekutana na kiongozi wake...😂😂😂✌️
  3. Msolopagazi

    Uchaguzi 2020 Dar: Helkopta ya Kampeni ya Tundu Lissu, yanyimwa kibali cha kutumia anga, ni baada ya kuomba kibali hapo jana

    Kama Diamond na Harmonize wanapewa vibali kila siku kwenda kwenye show za kipuuzi Ila mtu kama Lissu ananyimwa Huu upuuzi sijui utaisha lini
  4. Msolopagazi

    Q Chillah : Mwana FA acha utoto

    Naona jamaa unamshambulia sana Q Chief sababu Q Chief na watanzania wengi timamu wanauliza Mwana FA alienda lini South Africa wakati jumamosi alikuwa kwenye uzinduzi wa albamu ya Harmonize so South alienda lini na kurudi lini, pia kitendo cha msanii msomi na uelewa kama FA huwezi kuiponda korona...
  5. Msolopagazi

    Tetesi: Sharti Moja kubwa waliopewa viongozi waliofika Ikulu ni hili hapa

    Leo Mbatia mbeya kapokelewa na mkuu wa mkoa kwa serikali hii unafikiria kuna nini
  6. Msolopagazi

    Tetesi: Sharti Moja kubwa waliopewa viongozi waliofika Ikulu ni hili hapa

    Hii ishu ni kweli Magu anataka kuua upinzani especially chadema baada ya 2020 ibakie NCCR na ACT ndio zenye wabunge wakuunga sera za CCM ili misaada ije na uchaguzi uonekane ulikuwa huru na haki...😢😰
  7. Msolopagazi

    Rais wetu Magufuli, Watanzania tunakuhitaji sana zingatia afya yako

    Umeanza vizuri umemaliza fyongo kwamba wapinzani ndio wameanza kufurahia?
  8. Msolopagazi

    Serikali ya awamu ya tano mnatuharibia nchi

    Nakumbuka mwaka 2017 tulivyoachishwa kazi katika mgodi wa Acacia kwa mbwembwe nyingi kwamba ni wezi tunaiba makinikia na serikali inakuja kulipwa matrilioni nchi nzima ilifurahi lakini kiukweli maelfu ya watu tulipoteza kazi na mabilioni ya kodi na mapato ya serikali na nchi kwa ujumla na mpaka...
  9. Msolopagazi

    Kumetokea nini Tumaini Hospital Upanga?

    Tatizo walikuwa wanatumia insuarance kama AAR na strategies ambayo makampuni mengi yamejitoa kutokana na hali ya uchumi hata Aga Khan nako hali siyo nzuri watu wanajaa Muhimbili na Mwananyamala.
  10. Msolopagazi

    RC Makonda atangaza neema kwa wamiliki wa viwanda vidogo, maonyesho ya bidhaa za ndani sasa kufanyika kila mwezi

    Huyu Bashite akome kuchezea NSSF zetu mie nimefanya kazi mgodini miaka kumi naumia chini ya ardhi nimetoka nimeathirika mgongo na mapafu halafu nazungushwa malipo yangu zaidi ya mil 70 wanaenda kupewa watu ambao hawajahi kuchangia hata siku moja eti wafungue viwanda siwatupe hela zetu siye...
  11. Msolopagazi

    Msaada wa kisheria kuhusu mifuko ya jamii NSSF

    Jamani mimi nilikuwa mfanyakazi kwenye sekta ya madini nimeachishwa kazi muda wa miezi nane lakini kila nikienda NSSF nazungushwa njoo baada ya miezi miwili mara mwezi bila mafanikio je kuna njia gani nitaweza kutumia labda ili niweze kupata haraka. Nitashukuru sana kwa mawazo yenu.
  12. Msolopagazi

    CCM kuimaliza CHADEMA 2020

    Toa huu upupu hapa....
  13. Msolopagazi

    MAUAJI DAR: Maiti tatu zadaiwa kuokotwa ufukweni Coco Beach

    Duh!!! kweli Tanzania ya amani ndio tumefika huko. Eeeh Mungu tuepushe.
  14. Msolopagazi

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Kakola katoro bulyanhulu nako ni shida.
  15. Msolopagazi

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Jamani Kampuni ya Vodacom Tanzania mbona wananchi tunashindwa kuwaelewa haiwezekani leo inakaribia wiki moja mtandao wenu wa mawasiliano ni mbovu especially kanda ya ziwa simu hazitoki , data nazo ni shida, m pesa nayo ndiyo usiseme unatoa hela asubuhi inakuja message usiku hivi tatizo ni nini...
  16. Msolopagazi

    DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

    Get well soon Hon. Tundu Lissu.
  17. Msolopagazi

    Dar Coach wazidi kushusha bei zao za uundaji body za mabasi

    Duh!! nilikuwa sijui kumbe ukiona mtu ameweka mabasi zaidi ya kumi barabarani inatakiwa kumheshimu aisee.....
Back
Top Bottom