bado mnasema mna wanachama hai? siwaelewi ccm, nawaambia hv huu uchaguzi wa mwaka huu hauna cha uanachama wala nn! kama ni hivyo gawa nusu hao mguu ndani lkn hawa wengine nusu muguu ndani/ nje
watu wengne hivi tuliopo humu jf ni mapoyoyo sio! eti mimi nipo makongolosi na ni ngome ya ccm halafu anajichanganya nilimpigia simu dada mmoja nikamuuliza hbr za mabadiriko! come on! jifunzeni propaganda bhana aaaah! tena usirudie tena kudanganya.VIVA UKAWA
hahahahaaaa ccm msijidanganye hao watu 1/3 basi ndio wamekuja kusikiliza ilani yenu lkn 2/3 wote wamekuja kwaajili ya fiester. Nimewakubali sana wtz wamebadirika sanaaaaa. VIVA UKAWA
Acha kutuletea propaganda hapa bhana! wewe mwenyewe unataka tuamini ulichotuandikia hapa, hakuna asiyeijua TZ, tupatie kura yako halafu baada ya miaka mitano rudi utuulize kama mabadiriko yapo au hamna. VIVA UKAWA.
yaan hata ambao kazi yao kusikiliza tu ni wabishi kama wamekula ugali wa ndele! nani asiyeijua arusha? hao watu mmewatoa mbali tuulizeni tuliokuwepo, watu wameletwa na maroli utadhani matikiti maji halaf eti Arusha imezizima! semen ukweli yale maroli yamewatoa wapi?
kilevi cha ushabiki ni kibaya sn! sijui kama mnafikiri kwa umakini sana sn mnapost comment zenu! mungu anashuhudia kila kitu na mungu anawapenda sn watu wake, lkn km mtashindwa kubadirika ipo siku ataitwa nuhu wa pili, kwasababu hamsikii. hamheshimu tena watumishi wa mungu mnatukana tu! sijui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.