Tumejifunza kuwa rais huteuliwa na taasisi siyo wananchi, tumejifunza kuwa tanzania ni nchi ya kidikiteta(haina mfumo wa vyama vingi), tumejifunza kuwa pesa huongea lugha yoyote, mfano "ushindi utapatikana kwa gharama yoyote ile" (JK wa pili). tumejifunza kuwa hakuna haja ya kupiga kura...
Hiyo ni kweli, lakn inapaswa kabla ya kutoa ushauri wa jambo, kwanza ujue tatizo au chanzo sababishi cha jambo hilo, mfano hapa kwetu tanzania upande wa elimu kuna matatizo mengi ambayo yakipatiwa ufumbuzi ndipo elimu itakuwa bora, matatizo hayo ni
1. Absence qualfied teachers at both levels...
Pia muwaeleze wananchi kuwa wanatoa kodi za ujenzi wa barabara pasipokujua kupitia ununuaji wa mafuta ya taa, sabuni, kiberiti na petroli. pia muawaambie kuwa hata tanesco wakikata umeme bado tunazo cm tumejiumga simu.tv pia kuna m power umeme haukatiki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.