Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,935
- 5,558
Lowasa anawanyima sana usingizi.?Ataharibu zaidi! Aendelee tu kupiga kimya au afanye recording ila isiwe live
Lowasa anawanyima sana usingizi.?Ataharibu zaidi! Aendelee tu kupiga kimya au afanye recording ila isiwe live
Sawa, atakuwepo??? jibu plz
Campeni mwisho saa12 jioni hana mamlaka ya kuhutubia taifa,hizo zitakua kampeni na atakua ametoka nje mda
Hata wakizima umeme,vijijini watanzania wanasolar power kama kwa Mama yangu Mleba!
Pili,Salary siku hiyo tutawaeleza watanzania jinsi mfumo wa ccm unavyoifisidi Tanzania kupitia Sherehe za Mwenge huku wakilipwa posho lukuki
Pia,tutawaeleza watanzania jinsi kipato chao kidogo,kinachotokana na Malipo madogo ya bei ya mazao yao,ndio ndio maana hawawezi kununua bati ambalo bei yake iko juu!
Magufuli oyeee ccm juuuuu Apa kazi tu Ukawa apa kulala tu...
Epa , haipitiL, do once, escrow....
Lizabon unajidanganya Lowassa anakubalika nipo dar kila kona Lowassa. Ninekwenda Mbeya na Mwanza balaa arusha ndo funga kazi.ccm hadi mnamkodi mama wa taifa. Ari tete sana ccm.Afanye vivyo hivyo baada ya kipigo cha tarehe 25. Akubali kushindwa baada ya kugaragazwa na Magufuli
TANESCO nao watajipanga!
TANESCO nao watajipanga!
uzuri hawataweza kuzima server za youtube.mzigo wote utawekwa ktk youtube.TANESCO nao watajipanga!
Magufuli oyeee ccm juuuuu Apa kazi tu Ukawa apa kulala tu...
Una akili timamu?Molemo:
Mmefeli ktk hii mara zote, kwanza Uzinduzi wa Kampeni baada Lowasa Kufeli kuongelea Ilani yenu Jangwani, Uliandaa aongee recorded kwenye Vyombo vya Habari kisha iwe edited lakini ukashindwa Kumhifadhi Mgombea wako ITV walirusha edited vizuri, huku Azam two wakirusha kama ilivyo ikionyesha Udhaifu wa Mgombea wako.
Umeandaa Tangazo la kumnadi Mgombea wako huku ukiacha/ukiruhusu Clip zikizunguka kwenye mitandao kumfedhehesha Mgombea wako kwa Udhaifu hii ni AIBU kwako.
Umeruhusu First Lady wako adhalilishwe mmemnywesha Bia/Viroba na kumrekodi na kutuma kwenye mitandao.
Ukweli ni Kwamba hufai hujui maandalizi nina lmani hata hii UTAFELl. Tusubiri