Sio kwamba alikuwa busy sana au offline, Watu wengine tunapenda kusoma tu nyuz then basi labda tunalike tu. Kucomment labda nyuzi ikuguse sanaaa kama hii ya mzee wetu JBourne59, so mkuu usimshangae sana Mswati Original
Nimetoka kucheki game mida hii liver tumefungwa 😔😔😔. nilijua ntapata cha kufutia machozi humu nako holaaa😢😢😢, Ngoja nilale hivyo hivyo ila kesho babu usitusahau😊😊
Usiku mwema wakuu
YNWA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.