My classmate wangu yeye alikuwa la saba A mimi nipo la saba c chini ya mbabe Ndossi , tulikuwa na tunasoma na mjuku wa kike wa Mwinyi kipindi hicho yeye na shehe halahala walikuwa kama wa date hive
Bro umenigusa sana na ujumbe wako kama umeniongelea mimi haya maisha yetu na hizi familia zetu zenye watoto wengi familia moja , matatizo kama hayo lazima yawepo tu.
Bingwa hiyo troused ya will Smith ni Dolce and Gabbana zebra trousers price tag yake ni us dollars 995 , google kwa uwakika zaidi pesa ndefu kibongo bongo
Nikweli nakubaliana na wewe hii ujumbe wako ni kama unanizungumzia mimi kabisa, kwa kweli mimi ni mtu mwenye kupenda vibaya sana hasa nimpate msichana wa chaguo langu na anayejiheshimu nikwamba nilitokea kumpenda msichana mmoja hivi amenipita age for like one year different,Tatizo lake ni kwamba...
Kaka nimekaa nasubiri hadi watoto wote katika familia yetu wako katika ndoa na wengine wana mahusiano mema ya kudumu mimi pekee katika familia yangu sina husiano wa kudumu wala mtoto sina hadi mdogo wangu anayenifuata ana watoto wawili mimi najitahidi lakini mambo naona magumu kwangu
Mimi bado namaumivu yangu huu ni mwaka wa tano nilikuwa kwenye realitionship kwa miaka miaka miwili kwahiyo jumla ni kama miaka saba ex girlfriend wangu alitoa mimba zangu akawa ataki kuzaa na mimi ikabidi tuvunje uchumba muda ukapita nasikia amezaa na jamaa mwingine na wala hawahishi pamoja...
Kwakeli hii msg yako imenigusa sana mimi ni mmoja wapo wa watoto niliye shuhudia baba akimwazibu mama, akitoka huko kwenye pombe zake usiku kwakeli siku zote naoma sana MUNGU anipatiye chumba,mke ambaye hatonifanya nichukuwe roho na uwamuzi kama wa baba yangu ndio maana mpaka sasa hivi niko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.