mkuu naona umechemka, hii sio nyaraka ya serikali, ni nyaraka ya ccm. Halafu kama ni kitu haramu slaa angekuwa lupango hivi sasa. Hivi huoni kama unafanana na passport ya ccm??
duh!!! Nadhani umekosea thred. Wazo lako ni zuri lakini umechangia thred nyinge. Labda nipe kazi nikutafutie thred uliyo taka kuchangia. HAPA WANAONGEA PURE POLITICS FROM THE GROUND.
ni vizuri kutulia mnapo andika hizi documents, maneno kama etc sometimes si mazuri hasa inapo bidi kuwa na list ya vitu kamili. inabidi uchambuzi wa kina,kulingana na hali halisi ya hapa bongo. mfano, tunatakiwa kujui aian zote za intituion tunazo target, ili isifike wakati kikaja kitu ambacho...
mmmm, jamani huyu sio engineer, ni mathematician. Ma engineer mistari yote hiyo ya nini. Tunaangalia zaidi performance, time constraint. One line 2 phrases is enough.
Melezo hayahitajiki michoro tu inatosha. Ukipita tuu karibu na demu, mwenyewe atajua nini kinaendelea.
POSITION: NOC ATTENDANT.
CATEGORY: TELECOMMUNICATION, ENGINEERING, IT
NUMBER OF POSITION: 1
ROLE: Supervise and monitor performance of Network Operation Center (NOC) to ensure that team, department, and company goals/expectations are consistently met.
SKILLS
1.Excellent...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.