Kama upo Arusha, Please Tembelea AICC Office zetu ziko Ngorongoro Wing 2nd Floor No 239, Sisi tunafundisha kwa kutumia Proffesional Teachers walio pata mafunzo ya kufundisha Lugha hiyo, kwa Modules zote... ukifanya vizuri kama upo chini ya Umri wa miaka 34 utapata Scholership Nchini China kwa...
Kampuni ya Hadithi Zetu Limited, Iliyoko Arusha Tanzania AICC Ngorongoro wing office no 239
Inakuletea Mafunzo ya Lugha ya Kichina, yatakayo anza Tarehe Sita August 2018.
Mafunzo haya Ni ya Muhimu kutegemea Nchi yetu ni Nchi ya Viwanda na Wawekezaji wengi sana kwa sasa ni Wachina, Changamkia...
Kiukweli Bado sana Tanzania, Yule mzee wa watu Mnyenyekevu Mheshimiwa Edward Ngoyai Lowasa anatukanwa sana tu, lakini sijawahi kusikia Mtu kafunguliwa shitaka... hehehe Tunapaswa kujiassesssssss
JIPU NILILO NALO MIMI NI ASKALI POLISI KIKOSI CHA USALAMA BARABARANI MKOANI MBEYA, NJIA YA KUTOKEA MBEYA MJINI KUELEKEA CHUNYA. WAMEKUWA WAKIKUSANYA SHIRINGI 5000 KWA KILA GARI INAYO PITA NA KILA KITUO AMBACHO TRAFIKI HAO WANASIMAMA.
KUTOKEA MBEYA MJINI KUNA VITUO VINNE, YAANI ISANGA, KAWETELE...
Pamoja na Kasoro nyingi ambazo zimekuwa zikijitokeza hapa na pale kutokana na ubovu wa Serikali yetu hii ya Awamu ya Tano, lakini hili la Kupuuzia mambo ya msingi especial suala la Huyu Naibu spika kutaitia Doa kubwa sana Serikali yetu Pendwa.
Hofu yangu ni kuwa Budget inayo pita sasa...
POLE SANA, MIMI NIKUAMBIE USIACHANE NA MUMEO... TENA INAWEZEKANA YEYE ANA AFADHALI KACHUKUA MDOGO AKO, CHA MSINGI WASAMEHE KISHA MDOGO WAKO ARUDISHWE NYUMBANI.
ILA UMESHA FANYA MAAMUZI, UMESHASEMA HUJISIKII KUISHI NA MWANAUME HUYO, UNADHANI SISI TUTAKUSHAURI NINI?
Awali ya ya yote, natumaini muwazima wa Afya tele, na kila jambo linaendelea kama Mungu anavyo tufanyia wepesi. Niwapongeze katika kushiriki kwenye shughuli mbalimbali za maendeleo ya Nchi yetu ya Tanzania, lakini pia niwashukuru Wahisani na Marafiki zetu, Nchi kama Uingereza, Japan, Marekan...
Awali ya yote niwasalimu na kuwatakia Pasaka njema, Ndugu zangu jamaa na Marafiki nyote, mlioko Tanzania na nje ya mipaka ya Tanzania.
Ni matumaini yangu kuwa nyote mko sawa, na mimi kwa unyonge wangu lakini na Fikra zangu pevu nasema niko “NGANGARI”.
Leo niliwiwa kuifuatilia report juu ya...
KWA UPANDE WANGU KUNA VITU AMBAVYO WATANZANIA WALITAKA KUONA. KWA ZILE SIKU 100 AMBAZO ALISEMA ANGETATUA.
1. STRATEGIES ZA ELIMU BURE, SIO UNA EMPLEMENT BILA KUWA NA MIPANGO MIKAKATI YA KUENDELEZA JAMBO HILI
2. STRATEGIES ZA KUWAINUA WASANII, WA TANZANIA KUANZIA BONGO FLAVOUR MPAKA BONGO MOVIES...
Tuwape Hongera wana CCM na Watanzania Wote Kwa walioshika vipi mbalimbali vya Ubungo udiwani na Uraisi... Lakini PONGEZI ZA PEKEE KWA UPINZANI KWA KULETA CHANGAMOTO KUBWA KWA CHAUMA TAWALA KWANI wamependeza vichwa vingi Bungeni na kupunguza Vilaza vingi kutoka CCM hatutegemei Vigelegele kwenye...
Watanzania tufikie Hatua tuact kama watu wenye akili Timamu bwana, Kwenye mambo serious yanayoshika interest ya nchi munafanya masihara ya kipuuzi?
hivi katika hali ya kawaita Zanzibar ni Nchi? je Ina mamlaka kamili kama nchi? je Vyombo vya Zanzibar viki fanya maamuzi hayawezi kuathili Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.