Inapendeza Hongera UVCCM maana mmekuwa mbele mbele kweli kweli......
Pongezi za Dhati ziende kwa Watanzania waliompatia kura na kumchagua kuwa Rais Magufuli
MKIKUTANA NAE NJIANI MPENI POLE NA MWAMBIENI MSHAURI WA CHAMA CHAO ANATEKELEZA ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI
:mad::mad::mad::mad:
CCM sio wa spot spot :p:):)
BAVICHA wamepotelea wapi???mbona sijawasikia hata kidogo au Chama chao kimekosa miundombinu kwa vijana?
Chadema wamefail kweli maana wao ndio walitakiwa kuwa washindani wa UVCCM katika kutengeneza Vijana wazalendo, sasa kazi ya kutengeneza Vijana wazalendo imekuwa ya UVCCM pakee.
Hisa za Vodacom zipo tofauti ungelikuwa na uwezo wa kuwauliza matajiri waliokuwa wanawekeza peke yao watakupa matokeo chanya.
Naamini hii kwetu ni fursa tusiiachee.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.