Yaani kusingekuwa na zile sheria sijui za mitandao, za vyombo vya habari halafu aruhusu siasa za majukwaani kama katiba inavyo ruhusu yaani aache udikteta haki sipati picha...
Leo saa 9:00 mchana wakazi wa jiji la Arusha Mjini watampokea Mhe. Kalist Lazaro akitokea Musoma alikotunukiwa tuzo ya meya Bora kutoka jiji la Arusha Mjini, Mapokezi yatafanyika karibu na ofisi ya Tanapa makao makuu wananchi mnakaribishwa ..Hongera jiji la Arusha, Hongera Chadema, hongera...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.