Diamond analipwa awards sasa kutokana na dawa za kulevya alizowasaidia kusafirisha. Awards hazitolewi hivi hivi, kwa nyimbo gani za diamond??? Mdogo mdogo?? That ----!!?
Mkuu unaweza post ngoma zilizotamba ktk clubs zetu hapa tanzania? Tafadhari 1990 -1992. Siyo hizi zilizotamba nchi za magharibi bali zile madj wetu walizokuwa wanapiga clubs bila kujali zipo ktk chart au la...
Huyo samaki mchanga..wawakamate akina ridhiwani kikwete wanaobebesha watu mizigo mikubwa ya madawa. Mzigo wa Tshs 40,000 ni kuvuta mwenyewe. Wanaweka kesi kubwa wakati kule uingereza kiasi hicho hukamatwi na polisi yeyote. Gharama za kumsomea kesi hiyo leo ni mara 10 ya thamani ya madawa...
Sizitaki mbichi hizi!! Hahahahha demu mchafu kama watoto wote wa fisadi tanzania. Ingekuwa siku za Edward Moringe Sokoine fisadi wote wangenyongwa......
Hapo jibu ĺake ni hili: madaktari wa hospitalini wamesomea elimu ya kupima na kugundua mtu anaumwa nini. Lakini hayo mambo mengine ktk swali lako ni nguvu za giza ambazo hatufundishwa shule ili kujifunza lazima ujue yafuatayo: uchawi ni nini, mashetani/jini ni nini na...
For real sugu alipokuja dar alikuwa mshamba sana. Dar young mob walipompa deal ndo akawa maarufu. Yote tisa lakini ukweli unabakia pale pale kuwa sugu siyo mmoja wa waasisi wa hiphop bongo. Professor jay yes alikuwepo enzi zile ingawa alianza rasmi miaka ya 1990. Sambamba na Waasisi wa madj...
Mkuu Mungu akubariki sana sana kama ulikuwepo siku hiyo. Maana ni watu wachache sana watakuwa wanakumbuka siku hiyo. Akina fresh xe mimi nawaheshimu sana ktk bongo hiphop. Hawa wasanii wanaodai wao ni wahasisi wa hiphop bongo wanatudanganya. Sugu hawezi kuwa muhasisi wa hiphop wakati dar young...
W.W.A -weusi wagumu asilia, lakini pia kabla yao alikuwepo dika sharp, mukama muganda, con francis hii ni mwaka 1989 pale lang'ata sasa hivi fm sterio...baadae KU kwanza unit wakaja akina nigga one..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.