Mhalifu wa kwanza wewe, umewaona hao tu mbona kuna watu wamepotea husemi, kuna mtu anaitwa mawazo aliuliwa kinyama hakuna kilichoendelea. Pumba zako hizi peleka lumumba kwa mzee wenu
Sent using Jamii Forums mobile app
We akili yako mbovu sana sio lazima wote tukubaliane na anachofanya rais, binadamu tumeumbwa tofauti unaweza kuwa mkiristo me muislam wewe mgogo mimi msambaa wewe chama zilipendwa mimi chadema mpaka hapo angalau hata kama hauna shule utakuwa umeelewa kdg kwann hatuko sawa.
Sent using Jamii...
Upoyoyo huo mbona manara tulimchangia na hakuhama? Basi na mrema arudi chama cha zamani ccm maana ndio waliomtibia.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani uzalendo ni lazima? Kama hapa ndani hamuendeshi kizalendo kila siku mnatupiga, mnatufunga alafu mnataka tuwe wazalendo. Shubamiit mmemwaga ugali tumemalizia ugali [emoji23][emoji23][emoji23] hizo habari ulizopost ni nyepesi nyepesi tu hazina ukweli wowote buni kingine
Sent using Jamii...
Nawashangaa vijana wa lumumba mnatapatapa sana kutunga uongo kila siku, me nipo iringa hayo mnayoyasema hayapo kabisa tumetoka kwenye mkutano juzi tu na madiwani wote walikuwepo sasa huu uzushi wenu sijui mnaimendea ile nafasi ya uwaziri wa nishati na madini? Punguzeni pressure kwa hali hii...
Ni aibu kwenye jukwaa kama hili kuja ku discuss vitu vya ovyo kama hivyo, shame on you tatizo ni smart phone kuwa cheap. Hizi mada zenu pelekeni facebook kwa wajinga wenzenu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.