Kwa mara ya kwanza kuvutiwa na kipima joto from ITV ni leo.
Watu waliotoa maoni ya kipimajoto "je wananchi kuwapiga wabunge wao mawe, ni suluhisho la matatizo yao?" 71% wamesema NDIYO. Sasa nimeanza kuamini kuwa watanzania tuko macho!
Nakumbuka nilipenda mno kuwa baba wakati huo namchagua nani awe mama. Acha tu.. Utoto mtamu jamani, ndo maana ambao hawakupitia michezo ya utoto wanarudia ukubwani ili watimize steji za ukuaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.