Mimi nnachofabyaga ni hiki. Kila pesa nnayopata natenga 50% ya matumizi ya kawaida, 30% uwekezaji kama na 20% savings! Hizi % zote zina acc yake na ikiingia tu nazi deposit bila kungoja
Kwenye uchumi hii inaitwa "oligopoly market". Mnakaa mnakubaliana then kila mtu anatakiwa kuheshimu maamuzi ya kikao. Ndio wanavyofanya mitandao ya simu. Siku ukiona Voda au airtel kapandisha bei jua lazima wengine wafwate.
Rc kada wa ccm
Ras kada wa ccm
Dc kada wa ccm
Ras kada wa ccm
Ded kada wa ccm
Alafu ongezea.. huwezi kuwa mkuu wa kitengo kama we sio mwanachama wa ccm.
Je unatarajia nini hapo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.