Imekuaje comments zangu zote kwenye huu uzi zimefutwa bila kuambiwa sababu. Na sijatukana mtu. Kuanzia leo nahama jamii forum na funga hii acc yangu. Huku Hakuna uhuru kama zamani. Bila sisi clients wenu jamii forum haipo. Nyie mods bakini wenyewe basi jf
Mbona unakuwa mkali soma kwanza hapo👇👇👇
Thread 'Yule Sniper Bora Duniani wa Canada (Wali) aliyeenda Vitani Ukraine kupigana na majeshi ya Russia aelezea namna alivyopambana Ukraine' Yule Sniper Bora Duniani wa Canada (Wali) aliyeenda Vitani Ukraine kupigana na majeshi ya Russia aelezea namna...
Mnatakiwaga pia mtuelimishe kwamba hizi pesa huzipati cash, yaani tukiona madollah$ hatuwezi kuyatoa tukayashika mkononi. Yaani ni soft money utulie usubiri mpaka wakati utakapofika wakuanza kutumia soft money
Huku tunapoendelea wananchi watajikuta wanakero hawana pakusemea. Rais anatakiwa aachie uhuru wa vyombo vya habari na uhuru wa wananchi kuzungumza kero zao. Akiendelea kuwakumbatia hao Tiss n.k wanamdanganya tu nchi inaharibika. Wapiga kura ni hao hao wananchi
Huu utishwaji tishwaji umepelekea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.