Hivi hao wafanyakazi unaowasema hawanunui bidhaa zinazozalishwa na hao wasiokuwa wakulima?
Unadhani kibarua huko mtaani huwa anapewa kazi na serikali au ndio wafanyakazi wanaorudisha mzunguko wa pesa mitaani hatimae kwa wafanyabiashara.
Kuna bidhaa zilipanda miaka ya nyuma bila nyongeza ya...
Tigo wamekuwa ni tatizo kubwa,kuanzia dakika za maongezi mpaka messages zinatumika kwa kazi sana, ukiwapigia sasa ni porojo tu.Nimehamia Hallotel,nao nikiona siwaelewi nahamia airtel au ttcl
Wengi wanaotetea ni wanaharakati wanaofanya kazi na NGO,wanaenda na slogan ya anaewafadhili. Mimi nawaunga mkono kupinga viboko lakini wasiishie kupinga tu,watoe na mbadala wake hasa wakizingatia mila na desturi zetu hasa kutii nakufuata ushauri wa wazazi/walezi na walimu.
Sent using Jamii...
Kuzuia viboko linaweza kuwa jambo jema iwapo serikali itaacha kulazimisha wasio na vigezo na utayari wa kusoma kuchaguliwa kujiunga na shule. Kuna kundi kubwa la wazazi na wanafunzi wasiotaka kuendelea na shule, tofauti na zamani ambapo ulikuwa ukipewa adhabu yakurudi nyumbani(suspension)...
Kinachofurahisha zaidi nikuwa hakujapatikana ufumbuzi wa hili na hakuna hata mpango unao onekana kutatua hili. Tunasubilia matokeo ya form 4 tuanze kushangaa tena. Hivi hii sera ya kila mwanafunzi anaeanza chekechea afike kidato cha 4 na afaulu,wakati hakuna chujio la maana hapo kati unadhani...
Watanzania wengi umaskini wetu sio wabahati mbaya. Hakika akitokea mpuuzi mmoja katika mgongo wa imani akasema ndizi bukoba ukizipanda zinaleta mikosi tutaitikia tu kama mazuzu.
Kwa thread hizi,naona akina bushoke wakiongezeka huku wakidhani wanaonyesha upendo. Mimi kufanya kosa hakumhalalishii mke kunikosea,na akifanya kosa nikajua ni serikali ya kichwa changu itakayoamua.
Wanaume tuache kulialia,ikibidi anza upya au vumilia kimyakimya.
Tatizo hilo lipo ila haliwekwi wazi sana. Kwa mtazamo nikuwa ndugu au jamaa za mwenye kipato fulani huwa wanataka wawe na say katika pato lako. Na wanahisi shida yoyote kutoka kwa yeyote utaitatua kwa maelekezo na guidelines zao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.