Watu humu wa ajabu sana...kwani ni mahakama hii au nyumba ya ibada? Mara wahoji bangili,mara ualimu kasoma lini mara chumvi imezidi sijui.. hizo zote ni dalili za mastress na madepression...kama story iwe ya fiction au real hayo hayatuhusu ni juu yake msimuliaji...sisi hapa ni burudani tu!
Hebu...
Kulingana na Wanasaikolojia,kuna aina nne za Akili:
1)Kiasi cha akili ya Uelewa (IQ)- Intelligence Quotient.
2) Kiwango cha akili ya Kihisia (EQ)- Emotional Quotient.
3) Kiwango cha akili ya kushiriki mambo ya Kijamii (SQ)- Social Quotient.
4) Kiwango cha akili ya kuhimili Shida...
Ndiyo maana watu wanadai Katiba mpya! Kila kitu hakiwezi kuwa kwenye mamlaka ya Rais inaweza kuwa vingine hata yeye binafsi havijui matumizi yake na wasaidizi wake nao wamekariri mambo!
Ungeomba kuongezwa urefu wa kamba ndiyo terms zinaeleweka huko hizo PayPal,NFT, Crypto etc imekuwa dhambi kama...
Mdau kama una madai mbona simple tu nenda pale magogoni muone Lukuvi kapewa kazi hiyo ya kusimamia wizara uone kama itapita wiki,cha msingi nyaraka zako za madai zitimie..ikiwa kuna mtu hakuwajibika basi bench linamuhusu watu wengi hawana kazi wanatafuta hizo nafasi
Kuhusu Forex na Bitcoin nk
Nitajaribu kuelezea kidogo kwa kadri ya ufahamu wangu na uzoefu nilionao juu ya hizi biashara.
Kinyume na watu wengi wadhaniavyo ama walivyoaminishwa Forex au Bitcoin sio utapeli na wala sio biashara ya Pyramid Scheme kama DECI,QNet na zinginezo.
Forex:
Kama jina...
Kuhusu Forex na Bitcoin nk
Nitajaribu kuelezea kidogo kwa kadri ya ufahamu wangu na uzoefu nilionao juu ya hizi biashara.
Kinyume na watu wengi wadhaniavyo ama walivyoaminishwa Forex au Bitcoin sio utapeli na wala sio biashara ya Pyramid Scheme kama DECI,QNet na zinginezo.
Forex:
Kama jina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.