Search results

  1. Inkoskaz

    Utekaji umeanza tena? Imam Mkuu wa msikiti wa GPB Geita atekwa

    Uninhibited no strings attached dating, looking for adventures? True Females
  2. Inkoskaz

    Sitosahau yaliyonipata kijijini Kwamsisi

    Watu humu wa ajabu sana...kwani ni mahakama hii au nyumba ya ibada? Mara wahoji bangili,mara ualimu kasoma lini mara chumvi imezidi sijui.. hizo zote ni dalili za mastress na madepression...kama story iwe ya fiction au real hayo hayatuhusu ni juu yake msimuliaji...sisi hapa ni burudani tu! Hebu...
  3. Inkoskaz

    Salome Mgaya (Mama Kibonge) akamatwa kwa ukwepaji Kodi za Mabilioni ya fedha Bandarini

    Yule wa container 15 na kudaiwa bilioni 30 mara 10 mara 3.5 ndiyo wa mapicha picha na mkubwa?
  4. Inkoskaz

    Utapeli wa Dawa ya 'HIT' katika kuua Mbu

    𝖧𝗂𝗓𝗂 𝗓𝖺 π—Œπ—‚π—„π—Ž 𝗁𝗂𝗓𝗂 π—Œπ—‚π—ˆ 𝖧𝖨𝖳 π—ˆπ—€..π—π–Ίπ—π—Žπ—‡π—‚ π—π–Ίπ—…π—‚π—‰π—ˆπ—ˆπ—‡π–Ί 𝗓𝗂𝗇𝖺 𝗃𝗂𝗇𝖺 𝗐𝖺𝗄𝖺𝖾𝗇𝖽𝖺 π—„π—Žπ–Ώπ—’π–Ίπ—π—Žπ–Ί 𝖒𝗁𝗂𝗇𝖺..π—„π—‚π—‡π–Ίπ–Όπ—π—ˆπ–Ώπ–Ίπ—‡π–Ίπ—‡π–Ί 𝗇𝗂 π—„π—ˆπ—‰π—ˆ π—π—Ž 𝗇𝖺 π—π–Ίπ—‹π—Žπ–Ώπ—Ž
  5. Inkoskaz

    Emotional Intelligence ni nini? Unawezaje kuifikia au kuipata?

    Kulingana na Wanasaikolojia,kuna aina nne za Akili: 1)Kiasi cha akili ya Uelewa (IQ)- Intelligence Quotient. 2) Kiwango cha akili ya Kihisia (EQ)- Emotional Quotient. 3) Kiwango cha akili ya kushiriki mambo ya Kijamii (SQ)- Social Quotient. 4) Kiwango cha akili ya kuhimili Shida...
  6. Inkoskaz

    Kilio chetu kwa Rais Samia: Tunaomba PayPal iruhusiwe nchini Tanzania

    Ndiyo maana watu wanadai Katiba mpya! Kila kitu hakiwezi kuwa kwenye mamlaka ya Rais inaweza kuwa vingine hata yeye binafsi havijui matumizi yake na wasaidizi wake nao wamekariri mambo! Ungeomba kuongezwa urefu wa kamba ndiyo terms zinaeleweka huko hizo PayPal,NFT, Crypto etc imekuwa dhambi kama...
  7. Inkoskaz

    Urasimu kwa Serikali kulipa wadeni wake na usumbufu wapatao watoa huduma

    Mdau kama una madai mbona simple tu nenda pale magogoni muone Lukuvi kapewa kazi hiyo ya kusimamia wizara uone kama itapita wiki,cha msingi nyaraka zako za madai zitimie..ikiwa kuna mtu hakuwajibika basi bench linamuhusu watu wengi hawana kazi wanatafuta hizo nafasi
  8. Inkoskaz

    Kila kitu unachopaswa kujua kuhusu Cryptocurrency na Bitcoin na kwanini siyo uwekezaji mzuri kwako kwa sasa

    Kuhusu Forex na Bitcoin nk Nitajaribu kuelezea kidogo kwa kadri ya ufahamu wangu na uzoefu nilionao juu ya hizi biashara. Kinyume na watu wengi wadhaniavyo ama walivyoaminishwa Forex au Bitcoin sio utapeli na wala sio biashara ya Pyramid Scheme kama DECI,QNet na zinginezo. Forex: Kama jina...
  9. Inkoskaz

    Kila kitu unachopaswa kujua kuhusu Cryptocurrency na Bitcoin na kwanini siyo uwekezaji mzuri kwako kwa sasa

    Kuhusu Forex na Bitcoin nk Nitajaribu kuelezea kidogo kwa kadri ya ufahamu wangu na uzoefu nilionao juu ya hizi biashara. Kinyume na watu wengi wadhaniavyo ama walivyoaminishwa Forex au Bitcoin sio utapeli na wala sio biashara ya Pyramid Scheme kama DECI,QNet na zinginezo. Forex: Kama jina...
Back
Top Bottom