Kutokana na uzoefu wa muda mrefu katika ufundi wa computers (software and hardware) hapa kariakoo nimeona niwasaidie wadau humu wanaosumbuliwa na matatizo ambayo pengine wana uwezo wa kuyamaliza hukohuko nyumbani kwa maelekezo kidogo lakini pia unaweza kuomba ushauri kama ulipeleka wa fundi na...
Jipatie modem za kisasa zenye uwezo was 3Gplus kurusha wireless na USB cable kwa wale wasiotaka kuconnect modem direct kwenye PC..
Modem hizi ni universal na unatumia laini (SIM card)yoyote unayotaka...
Tupo kariakoo mtaa wa aggrey na msimbazi
Au piga 0752367766
Karibu sana
Kampuni ya G-soft security systems inatoa ombi kwa watanzania wote wanaotaka kufungiwa mitambo ya ulinzi katika maeneo yao muhimu kama
1. Nyumbani
2.Viwandani
3. Hotelini
4. Madukani
5. Hospitalini
na maeneo yoyote...
Sasa tumefungua ofisi yetu mbagala zakhem. Tunajihusisha na yafuatayo
1. Ufundi wa kompyuta, printers na photocopiers
2. Ufundi wa simu na tablets
3. Software installations
4. Recovery of lost data
5. Graphics designs..
Karibuni wote 0752367766
Samahani wakuu ni mdau mwenzenu baada ya kuchoshwa na hizi kazi za kikoloni nataka nifungue kaofisi na kutengeneza laptops na simu..naomba kujua ni box gani inayotumika sana kwa sasa yenye uwezo wa ku-flash simu nyingi zaidi...
FAHAMU JINSI YA KUJISAJIRI NA HELPING HANDS INTERNATIONAL (h2i) AMBAYO NI FURSA MUHIMU KWA KUJIKWAMUA KIUCHUMI
HELPING HANDS INTERNATIONAL (H2i)
Hii ni taasisi isiyo ya kiserikali imeanzishwa huko ufilipino kwa kazi kubwa ya kuwasaidia watu masikini,walemavu,yatima wajane na wenye magonjwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.