Nimekuwa mdau muhimu kwenye hii taasisi inayojihusisha na huduma muhimu za Afya yetu watanzania. Kuna mengi yamejificha nyuma ya pazia inayopelekea hii NHIF kuwa chaka la kupiga fedha za Serikali,nikimaanisha michango ya wanachana kuwa ni pombe ya ngomani kila mmoja anajichotea tu.
Kuna...
Nimeifuatilia kwa karibu ziara ya Mh Rais JPM kule kwa umachingani na kusikia katika hotuba yake kuhusu wale jamaa wapigaji wa Kangomba. Hawa jamaa waliambiwa mwanzo hawatalipwa kwa maana walikuwa wanawanyonya wakulima wale. Lakini hawa jamaa kwa mujibu wa maelezo ya Mh Rais JPM mwenyewe,kumbe...
Nasema.,namwona Rais JPM mpya mwenye sura tofauti na niliyoizoea kumwona. Nimeona ongea yake jana wakati akiliongela swala la ukusanyaji mapato kwa hawa TRA,na pia sura aliyoionyesha wakati akitoa pole msibani kwa Mh. Peter Msigwa na alivyokuwa anamwita Mh. Lema. Ni dhahiri JPM kuna kitu naona...
SUMATRA haya mateso tunayofanyiwa na hawa Udart sijui kama nyie yanawakuta moja kwa moja. Tafadharini mngerejesha tu njia zilizoathiliwa na usafiri huu mpaka hawa Udart watakapojirekebisha. Maana sasa ni mateso na sio usafiri sahihi kwa sasa!
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.