Kama kuna Mtu humu Jamii Forum anafanya kaz vodacom Nina shida binafsi naomba Ani PM Namba yake kuna Mambo nataka Tuyajenge Yatakuwa na Manufaa kwangu pia kwake.....usipuuze Ujumbe huu
ACHA KUPAMBA JUKWAA WEWE ULIPAKIA MIRUNGI SIYO VIATU ZAKARIA HAUSIKI NA MIZIGO WALA HATA STENDI HAENDI...UNA LAKO JAMBO M2 LAKI 8 Z HAWEZ ZULUMU HIYO KWAKE NI PESA YA VOCHA SEMA ULIPAKIA MIRUNGI UKIWA UMECHANGANYA KWENYE VIATU HATA POLISI HAUKWENDA WASINGEKUJIBU HIVYO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.