Ninayo Subaru Forester XT ya mwaka 2009.
Cc 1990.
Namba ni DVN.
Rangi ni pearl white.
Gari ipo vizuri sana.
Naiuza kwa sababu nataka ninunue forester XT ya 2014.
Gari ipo Dar es Salaam.
Bei ni 18 mill mazungumzo yapo.
Namba ya simu 0767 668904
Hizi gari ni nzuri Tu tena saana hasa kwenye performance ukilinganisha na TOYOTA RAV4, harrier, na hata vanguard, hata nissan dualis, Xtrail na SUV nyingine nyingi Tu ambazo unaweza zilinganisha na forest XT. Shida ya watanzania wengi bado wanamawazo mgando kwamba Toyota ndio ya kuwa nayo...
Natamani siku moja uendeshe Subaru forester XT, iliyowekewa recommended engine oil, halafu weka petrol ya TOTAL, PUMA au VIVO. Then njoo hapa utoe mrejesho.
Ni kweli, subaru sio gari sumbufu. Kikubwa fanya service kwa kutumia recommended oils/fluids. Tatizo watu wengi hawazielewi hizi gari, mtu ananunua ma oil fake, unategemea nini. Mm bibafsi toyota zimenishinda, natumia subaru kwa mda mrefu tu, kwakweli ni gari nzuri sana. Kwa ss naona watu wengi...
Nauza gari aina ya Subaru Forester, mwaka 2004. Namba ni T 586 DEB. Gari ipo kwenye hali nzuri sana. Tairi zake pia bado mpya. Na haina tatizo lolote na haijawahi pata tatizo lolote. Bei ni shilingi 7,500,000 net take home. Simu yangu ni 0767 668 904. Halo ya gari ni kama unavyoiona kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.