Mkuu huyu mbunge kweli ni fala. Na kama mvuto wa wahudumu ndo kupata abiria basi KLM ingefunga route yake hapa maana ndo ndege inaongoza kuwa na wahudumu wazee na wasio na mvuto kwa mtazamo wa huyo Mbunge , na wengi ni wazee zaidi ya umri wa huyo Mbunge ingawa ni warefu. Nadhani KLM waliangalia...
Kweli Slaa ni kiboko, mpaka sasa threads zaidi ya kumi sishaanzishwa kumjadili na kumkashifu. Halafu mnasema hana madhara yoyote. kama kweli si muache kufungua mathread hovyohovyo
Ndo yale yale wakifanya wengine tunahoji ila mkifanya nyie ni sahihi, asingeponda chadema na lowasa tusingejua hiyo stori, siku zote ulikuwa unasubiri nini kutuambia hayo.
Mbona husemi angejisafisha angeendelea kumuita fisadi, umeng'ang'ana na wabunge hamsini. Pia mnasema hawapi shida slaa mbona mnazidi kufungua thread nyingi za kumponda na kumkashifu, mara nyingi mtu ambaye hakupi shida hata huhitaji kumuongelea au kumkashifu. Kumbuka hakuzungumzia wabunge...
Huyu Lowasa mpaka kufikia kipindi cha kuchujwa ndani ya chama chake atakuwa ameandikwa mara milioni mia katika mitandao ya kijamii, na kwa machapisho yasikuwa na maana ili mradi tu aonekane anashambuliwa au anapendwa huku waandishi tukiwa sisi wenyewe na tunaompenda ni sisi wenyewe.
Hii nchi bwana, ukiwa waziri ni wa taifa. Ila Ukiwa mkuu wa nchi siyo wa taifa. Kwa mfano rais akipelekewa bandari kwao wakati nyingine ipo km 20 kutoka kwake ni sawa tu, kujengewa barabara kubwa kama iendayo mikoani ni sawa tu.
Kuna Mzanzibar mmoja alinuliza kuwa dhahabu inasemekana kuwa siyo ya muungano ambapo zanzibar haiwahusu je mapato ya dhahabu yanaenda nchi gani katika muungano kama ilivyo mapato ya karafu yanvyobaki zanzibar? Kiiukweli nilikosa jibu!
Sidhani kama ni kweli kuongeza chumba kwenye nyumba ni kubaili! Ila ninachojua hayo ni maboresho! Ukibomoa nyumba yako yenye vyumba viwili na ukajenga nyingine ya vyumba vitatu hayo ndiyo mabadiliko kwa kuwa hata msingi hautakuwa wa kuungaunga na nyumba itaonekana moja na sio yenye viraka! Sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.