Jamaa alisema kiwanja ukubwa wa 35kwa 40 jkt,kiwanja cha 500m hakuna labda kiwe eka,kule kwa mama vile ni special kesi hata tasisi zinazunguka na lazima uwe mzito
Mtwara inaonekana biashara ya tipper ni nzuri,ila kwa dar ni ngumu kufikisha gari 10 bila kutuoa kwenye vyanzo vingine.canter Tani 2 bei yake 50m ,hesabu elfu 50,fuso bajaji tan 4 bei Kati ya (75-80m) hesabu elfu 80 hadi laki,isuzu tani 10 bei yake 120m hesabu laki 2.5,mende na faw tan15 bei...
Kanuni ya kupungua uzito
50 % ni chakula hapa jua group lako la damu na diet yake(google utapata)
30% maji lazima unywe maji
15% usingizi lazima upate muda wakutosha kulala
5% mazoezi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.