Mtatiro anajitahidi sana ila huyu polepole ni saizi ya lissu,slaa na zitto tu upinzani.Wengine anawaonea.Angalia mtatiro anavyojitahidi ila ni kama anafundishwa
Dah Tanzania akili zetu zikoje?hivi msigwa alimshinda polepole ??msigwa ni average politician anayehitaji akili ndogo sana kumzidi ila kwasababu ya ushabiki utasema ameshinda
Tutaaminije zile tuhuma alizobebeshwa zzk kama chadema ni wanafki hivi.lowasa walimuita kila jina baya leo wako tayari kumpokea ni democracy au democrazy
Shida ya wasanii Wa kwetu kutojishusha.Kiba ana kipaji sana ila mziki si kipaji pekeyake yapo mengi nyuma yake.Kuna kujitangaza,kujipendekeza na mengi kibao.mengi diamond anayo ila kiba abadilike bila hivyo hatutafika
Magufuli ameweka kumbukumbu nzuri sana kwa watz.Haihitajiki speech nzuri kumpata kiongozi mana aliyoyafanya yanajieleza.Nchi imekua ya mazoea zoea bila kiongoz mwenye element za udikteta tutabaki palepale.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.